PRODUZA MWENYE UMRI MDOGO PWANI// Petrooz ni
produza wa muziki anayetokea papa hapa jijini Mombasa.Gwiji huyu mwenye
umri wa miaka kumi na tisa alianza kuandaa muziki tangu alipokuwa shule
ya upili.Petrooz aliunda beat na kuziuza huku akirekodi muziki na
kujilipia karo ya shule.Kwa sasa yupo na track mpya aliyowaandalia
Hustla jay na Fikra teule inakuja hivi karibuni.
PICHA ZA RAY-C ZATOKEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII AKIWA DRUG ADDICT
Mwanadada kutoa Tanzania Ray C, Ametoa picha zake wakati alipokuwa anatumia mihadharati, picha ambazo zimezua hisia kali katika mitandao ya Jamii. Ray C ambaye alichukuliwa na Rais wa TZ Jakaya Kikwete na kupelekwa kwenye rehab kwa sasa yuko katika hali nzuri ya afya na ameanza kazi zake za mziki huku single yake ikitarajiwa kutokea hivi karibuni.
Comments
Post a Comment