SADAT MUHINDI WA MALIZA UMASKINI AKUMBUKA ALIKOTOKA

Iwapo umeskia kuhusu project ya Maliza Umaskini, basi ushamsikia Jamaa kwa jina Sadat Muhindi.


Sadat Muhindi
Sadat anasifika kwa roho safi na project yake ya Maliza Umaskini imewasaidia wasanii wengi upcoming kujitambulisha katika uwanja wa muziki, Akiwemo mtoto wa kike kutoka pwani Tierra  G.  na Papa Dennis aliyemshikisha Jimmy Gait kwenye wimbo makeke

Tierra G






















Papa Dennis
























 Sadat ambaye maisha ya utotoni yalikumbwa na umaskni mwingi, alipiga picha kwenye facebook yake akionyesha Nyumba yake ya kwanza na kwa sasa, ni Mtu aliye na uwezo wa kutosha kujikimu na kuwasaidia wachache watimize ndoto zao za kimziki na sanaa kwa jumla.
Sadat akiwa kwa nyumba yake kwanza





Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!