PICHA ZA RAY-C ZATOKEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII AKIWA DRUG ADDICT


Mwanadada kutoa Tanzania Ray C, Ametoa picha zake wakati alipokuwa anatumia mihadharati, picha ambazo zimezua hisia kali katika mitandao ya Jamii. Ray C ambaye alichukuliwa na Rais wa TZ Jakaya Kikwete na kupelekwa kwenye rehab kwa sasa yuko katika hali nzuri ya afya na ameanza kazi zake za mziki huku single yake ikitarajiwa kutokea hivi karibuni.


Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA