Crazy K asafisha Jina lake

CRAZY-K ASAFISHA JINA LAKE/// BAADA YA HABARI KUTANDA KUWA MSANII WA HIPHOP ANAYETOKEA HAPA PWANI #CRAZY-K KUMTAPELI NA KUMKIMBIA MSANII WA BONGO Z.ANTO HUKO BUSIA.CRAZY-K ALIYEVUMA KWA WIMBO #REBECA_NIMECHOKA NA NYINGINEZO AMEJITOKEZA NA KUKOSOA HABARI HIZO.MSANII HUYO ALIKANA KABISA MADAI HAYO NA HIVI NDIVYO ALIVYOPACHIKA KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK....."Sijawai kua na show Busia mnanishangaza. Alafu, wen did i start being an event organirer? Am jst an artist, shw ilikua ya ELDORET na hata me mwenyewe sikuperfom cz sikulipwa!....." JE MASHABIKI MNA YAPI YA KUSEMA?

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!