Posts

Showing posts from March, 2014

MEET OMMY KESSY

Image
Leo tunamhoji msanii anayetokea pande za likoni na aliye na kipaji si haba. Wengi wanamuita 'waziri wa mahaba' kwa sauti yake nzito na kuleta maudhui ya kulalamikia mapenzi kwenye nyimbo zake.Lights....camera......action.... Ommy Kessy for you!  P.U: KWA WALE WASIOKUJUA JINA LAKO HALISI NI NANI? A:Majina kamili nafamika kama omar Abdallah Jamali.  P.U:ULIJITOSA KWENYE ULINGO WA MUZIKI LINI?  A:Nilianza mziki nikiwa darasa la saba ilikua mwaka wa 2003 ila nilikua sina uwezo wakuingia ila nilijibambanya mwaka wa 2008 nilijuiunga na mwamba recods. P.U: BAADA YA KUJIUNGA NA MWAMBA RECORDS KWA NOOR MWAMBA LIPI LILIFUATA?   A: Hapo ndipo nilipopata mafanikio baada ya hapo nilijiunga na Rage music hapo ndipo jina lingu lilizidi kuvuma kwa vibao motomoto.  P.U: TUAMBIE BAADHI YA NYIMBO ZAKO ZILIZOVUMA A: Silali,Jeraha na kibao nilich­okiwachilia juzi kwa jina nitulize.

MEET ULISE KOMORA AKA TURNER BOY

Image
P.U: WHATS YOUR NAME ? A:Am Ulise Komora Aka Turner Bwoy. P.U: WHEN DID YOU START DOING MUSIC? A: I started singing in 2010,immediately after my KCSE.I was first a volunteer peer educator at AMURT and Marie Stopes P.UWHEN DID YOU RECORD YOUR FIRST SINGLE?   A:I recorded my first song "Beauty and the Beast" with Massey J in June 2013 at Street Vibes Records in Malindi. This was after an exchange programme with Lukashaus in Rendsburg,Germany where I received support for my music. We did the video for Beauty and the Beast in August 2013 and it has been aired at Qtv. P.U: WHAT TYPE OF MUSIC DO YOU DO?  A: I rap Techno and Pop. P.U:WHO INSPIRES YOU MUSICALY ? A: i mostly take my inspiration from Jay Z, PitBull and Florida . In Kenya,its Prezzo P.U: THATS AWESOME.APART FROM MUSIC,WHAT DO YOU DO?   A: Am currently studying Mass Communication at Technical University of Mombasa.  P.U:WHAT DO YOU HAVE IN STORE FOR THE COASTAL KENYA MUSIC SCENE?  I have decid

VIDEO YA ROJO-MO AKIMSHIRIKISHA KHALIGRAPH JONES IPO NJIANI

Image
Kila kunapokucha msanii ROJO-MO anapiga hatua na raundi hii amepiga hatua kubwa mno. Leo yupo uwanjani akitayarisha video ya wimbo wake MZIKI GANI aliomshirikisha KHALIGRAPH JONES .Wimbo huo ulirekodiwa ndani ya BIGSOUND PRODUCTION na video imeandaliwa na Ricky Beko wa CMG PRODUCTION. Tayari ROJO-MO yupo kwa kundi la Killa Camp linaoloongozwa na msanii Cannibal.  

MODDY B AMKOSOA FISHERMAN NA KUMWAMBIA HAWEZI

Image
Ni wakati wa kukosoana na raundi hii msanii wa ragga na dancehall Moddy B amekuja wazi kumpa kichapo cha maneno Fisherman .  Fisherman Msanii huyu ambaye wimbo wake ' baby come dance with me ' ni moto wa kuotea mbali alimkosoa Fisherman kwa wimbo ' Chizika ' alioufanya na Jo-1 . Tulipomhoji kupitia njia ya simu Moddy B alikuwa na haya ya kusema....... " Fisherman ana kipaji ila kwa wimbo chizika hajaimba lolote,mwanzo badala ya kuipa flavour nyimbo hio alifanya kuiharibu haswa.Sisemi kwa ubaya ila nafasi hio ingepewa msanii kama Wyre,Redsan,Critiqal,Fidempa,Crabby De Conkara,C-DEH,Shaffie and Slice au hata mimi ingetoka vizuri zaidi.Mistari yake ya 'jasho kote tiririka watu wanakatika imepitwa na wakati. ........."  Je wewe maoni yako ni gani? Moddy B amesema ukweli ama?

TOP 8:RECORDING STUDIO NANE KALI PWANI

Image
8.MK2 STUDIO-Kutana na produza Plion na Magustu babu ambao kila uchao wanaleta vipaji vipya.Jay kiny,Alkenia Luv,Wawindaji ni baadhi ya wasanii waliofanya na wanaofanya kazi MK2.  7.TEE HITS.Bila shaka hakuna pingamizi kuwa produza Tee single-handedly bila usaidizi wowote ameifikisha studio yake mbali.Amemkuza Dazla,Double-k na kwa sasa Mynas vilevile Fat-s,kidis,Ali b wote washafanya kazi na produza Tee.  6.SQ RECORDZ-Studio hii chini ya mbawa zake Produza Ammz Jadidi imeshikilia sanaa ya pwani kwa sana.Ammz aliyechaguliwa kama producer of the year kwa coast awards 2013 alimleta ,kaa la moto,luvmums na wengineo.Tusisahau wimbo wa Subiri by coast all stars.  5.THUNDERSOUND RECORDS. Produza Morbiz almaarufu Sheriff ndiye mlezi wa vipaji vingi hapa pwani.Maproduza kama Tee,Gogolow,Tk2,Amz,andahwotah,Kicksgonga na wengineo walipitia kwa Morbiz.Wasanii vilevile kama Chikuzee,Rojo-Mo,Dazlah,CLD,Fat-S,Tiera G,Susumila na wengine wengi walipitia kwa Morbiz na kwa sasa Xmathare

ERICK OMTERE MOMBASA'S TOP ACTOR AND ALSO A MODEL AND ENTERTAINER AND ALSO THE ONLY 27 YEAR OLD VIRGIN TO APPEAR IN A NIGERIAN MOVIE SOON.

Image
Erick Omtere the Mombasa Based actor, Model and entertainer who features on a Tv program called Almasi thats every sunday, monday and tuesday at 730pm and has also done alot of movies in kenya is one of the luckiest Kenyan actors to get a chance to feature in a Nigerian movie. Eric who shocked alot people in the country after it was revealed that he is 27 and still a virgin feels proud to get such a chance and will soon fly to Lagos for the movie shoot . Eric is also soon launching his film production company and will be shooting movies all around Kenya to promote Coast n Kenyan talents. He already has shot two movies that he is currently taking them to Tv stations and has written over 8 scripts that are ready for production. Eric who was interviewed on pwani fm a month ago, reiterated that he is still a virgin. He says he has several big projects and he believes in his work and trusts God more to change the acting and entertainment industry of Coast and Kenya

OFFER KWA WASANII KUTOKA SIMAMA RECORDS

Image
MWEZI WA NNE KUANZIA TAREHE 26 SIMAMA RECORDZ STUDIO INAYOVUMA AFRIKA MASHARIKI ITAKUWA MJINI MOMBASA KUENUA VIPAJI.KWA 4000ksh UTAPATA NAFASI YA KUREKODI NYIMBO NA MAPRODUZA GWIJI NA KUMARKETIWA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI.WASANII WAKALI WANAWEZA PATA NAFASI YA KUSAJILIWA.PIGA NAMBARI 0723936960 KUPATA NAFASI MAPEMA.

KUTANA NA SKILL-T VOLCANO

Image
P.U:TUAMBIE JINA LAKO HALISI NA LA USANII   A:Stage name ni Skill-T Volcano na langu halisi ni Liston Tumaini. P.U:ULIANZA MUZIKI LINI ? A: Nilianza mziki 2005 chini ya producer Saint-P pamoja na U.n.d.a ndani ya Onepath recordz. P.U:USHAFANYA KAZI NA RECORDING STUDIO ZIPI?   A:Niliwahi kufanya kazi na studio kama vile Greenhouse,Boomba recordz na kelele recordz. P.U:UNA BIDII KWELI,ENHE TUELEZE ZAIDI . A: Kwa hivi sasa niko na ujio mpya ambao nilifanya na producer Techqnics kutoka Kelele recordz natayari nishaichia kwa radio station kadhaa kama vile pwani fm na nyinginezo.  P.U:PROJECTS ZIPI ZA MUZIKI ,WAJISHUGHULISHA NAZO KWA SASA?  A:Kwa sasa nafanya kazi na MYDG MUSIC 4 PEACE ambayo ni group ya wasanii inayo deal na awareness juu ya PEACE iliyosajili wasanii kama Skill T, Cox na Mck'zoo na wengineo.  P.U:KWENYE KUNDI LENU JE MSHAFANYA MUZIKI KWA PAMOJA?   A:Tulifanya album ya AMANI KENYA chini ya KTI, USAID KENYA.  P.U:UNA NDOTO NA MATUMAINI GANI

ORDINAREH NA OHM'S LAW BADO WAPO JUU NDANI YA TOP TEN ZA MASHAVMASHAV

Image
TOP TEN KALI AS PER NOW IN THE COAST NUMBER ONE YOUTH SHOW MMU2014 N MMU4LYF@PWANIFMFROM 9AM TO 12PM  10: HOW WE DO IT-FIDEMPA N PROFF (MAICH BLAQ)  9: NAOGOPA-BENSO FT BREE (STUNT MASTERS)  8: SHAURI MOYO-SHEMBWANA (TEE HITS)  7: AIRE-KIGOTO (HORNET RECORDS)  6: NIMEBADILIKA-BROWN(WAWILI PEKEE) (MAIN SWITCH)  5: UBINAFSI-SDK FT KIDIS (MK2 STUDIOS)  4: SHAMANIZ-NDOTO (A MILLION RECORDS)  3: BURUDANI-HARSH BEE (JUNGLE MASTERS)  2: KIBE-CHIKUZEE (HORNET RECORDS)  1: MAKE A NAME-ODINARE BINGWA FT OHMZ LAW MONTANA (KELELE REC) Odinareh Bingwa Ohms Law

MSANII MR.O WA NYAMAZISHA CREW AMPOTEZA BABAKE KWA LIKONI CHURCH ATTACK

 Shambulizi la hivi majuzi la kanisa la Joy in Jesus limempokonya baba mzazi wa msanii Mr.O wa kikundi cha Nyamazisha crew . Kundi hilo la muziki lililo chini ya studio ya Newdawn records ya meneja na produza Billy linaomboleza kifo cha babake Evans Munandi almaarufu Mr.O . Tulipoongea na meneja wao ambaye ni produza Billy alitueleza hivi....." Mr.O alimpoteza babake mzazi na yeye mwenyewe alishootiwa kwa mkono pia...the crew was signed last month na wamefanya ngoma mbili (sharolina na nipe tano)..... ."  Pwani usanii twawapa pole zetu.

WIMBO MPYA WA KASSAMONEY AKIWASHIRIKISHA ELSIE NA Q-RAPS

Image
Msanii wa hiphop Kassamoney aliyetoa wimbo ' my way ' na kushirikishwa kwa vibao vingi vya hiphop ndani ya kelele records, amerudi tena.  Msanii huyu anayetamba vyema kwenye midundo ya produza Teknixx raundi hii amewashirikisha binti Elsie na gwiji wa hiphop Q-raps kwa wimbo ' hiphop thugs day' .

The next Camp Mulla from Coast? Meet Trap Town

Image
Trap Town  Trap Town is a four piece teenage urban music band,originating from and based in Diani,Kenya. The band consists three rappers, Lloyd (20) FreshKid (20) and Yung Dane, (18) and one lead vocalist/guitarist Sheila (19). Trap Town was formed in 2010 when Yung Dane,Freshkid and Lloyd met at a mutual friend's home recording studio in Diani. Sheila was the latest addition to the group,she met the boys through a schoolmate who suggested she checks out their music. She was impressed and so she met with them and a studio session was organised, thus resulting to the making of their first single together, City In My BackPack .  From then,they have done various projects,most unreleased. In the local scene, Trap Town looks up to the likes of Sauti Sol,P Unit,Just A Band,Camp Mulla,Victoria Kimani,Collo,Sage and others. Internationally,their inspiration comes from successful bands like The Beatles, CoverDrive, Black Eyed Peas and many more. Also solo acts like

MEET HUSTLA JAY

Image
  HustlaJay P.U: WHATS YOUR REAL NAME AND YOUR STAGE NAME?  A:My names are JAMES MASAI PAUL. Named after great grandfather and my grandfather. On the streets call me Jay my Hip-Hop Names are Hustlajay aka Methusuela n Swila Mchiriza Sumu.  P.U:WHEN DID YOU START DOING MUSIC?  A: ok nilianza mziki maeneo ya mtongwe inspiration za ukoo flani my mentor nguchi pee alininspire kuandika concious and back in high school i used to write and freestyle during events.  P.U: EEH SO CAN WE SAY THAT YOUR MUSIC CAREER HAD A SMOOTH KICK OFF? A:starting wasn't that easy for lack of funds and also i yearned for a real producer who would real understand what i wanted african tunes to be me to produce real beats,we used to walk to studio go spend day without food just motivating each other one day one time just like a sailor awaits for his day to stowaway,music is a journey u plant and got to be strong enough to wait for reaping of its fruits  P.U: YEAH,SO WHEN DID YOU DO YOUR FI

SADAT MUHINDI WA MALIZA UMASKINI AKUMBUKA ALIKOTOKA

Image
Iwapo umeskia kuhusu project ya Maliza Umaskini, basi ushamsikia Jamaa kwa jina Sadat Muhindi. Sadat Muhindi Sadat anasifika kwa roho safi na project yake ya Maliza Umaskini imewasaidia wasanii wengi upcoming kujitambulisha katika uwanja wa muziki, Akiwemo mtoto wa kike kutoka pwani Tierra  G.  na Papa Dennis aliyemshikisha Jimmy Gait kwenye wimbo makeke Tierra G Papa Dennis  Sadat ambaye maisha ya utotoni yalikumbwa na umaskni mwingi, alipiga picha kwenye facebook yake akionyesha Nyumba yake ya kwanza na kwa sasa, ni Mtu aliye na uwezo wa kutosha kujikimu na kuwasaidia wachache watimize ndoto zao za kimziki na sanaa kwa jumla. Sadat akiwa kwa nyumba yake kwanza

THE BLACK CITY MIXXTAPE LAUNCH:CLUB YELLOW RIBBON

Image
Wasanii shupavu wa hiphop hapa pwani watakuja pamoja kulaunch mixxtape ya Msanii Dizasta .Tamasha hilo linahappen 4th april at club yellow ribbon . Entry ni free, mixtape itauzwa kwa 150 shillings . Event dj ni dj cos na madj wengine pia watakuwepo. Kutakuwa na proffesional photography, event yenyewe iko organised by Ultimate Hiphop Experience (UHE) .Watakao perfom ni wasanii wa hiphop kama, Kaa la moto, Mohjay Graphics, Mnywaji, Risto, Drullix, Petrooz, Ohms Law, Kassamoney,Ordin­nareh,Viddette, Frank­west. ..  Event inaanza saa tatu usiku hadi chee

X-MATHARE WAWAENZI ELANI,MUTHONI THE DRUMMER QUEEN NA OLAMIDE

Image
X-mathare kikosi ambacho kimeteka muziki wa pwani na kuenea anga za Kenya nzima kwa jumla, tunazungumzia Kevobitts,Ohzy,Mtu tabia na Psycho .Wanne hao waliotoa vibao NIMERYK,KUCHEKUCHELE na hivi majuzi BEMBELEZA wamekuja wazi na kutaja baadhi ya wasanii ambao wangelipenda kufanya kazi nao. Tulipowasiliana nao walikuwa na haya ya kusema......."at the moment Elani music is doing great, but we would like a collaboration with Muthoni the Drama Queen aka DQ ... we would also like to work with an artiste from West Africa like Olamide from Nigeria......" X-mathare wapo chini ya studio za THUNDERSOUND RECORDS chini ya producer na meneja Morbiz.

PRESENTER TEDDY MWANAMGAMBO ATOA USHAURI KWA WASANII

Image
Hili ni swali ambalo wasanii wengi wanaoanza safari yao ya kimziki wameniuliza mara nyingi. Wenye jibu sahihi la swali hili inafaa iwe wasanii wakubwa ambao tayari wamefanikiwa kupata idadi kubwa ya mashabiki. Hata hivyo ni jambo la kusikitisha kugundua kwamba wasanii hawa wameekeza juhudi nyingi katika kulinda siri hii ya mafanikio. Hakuna msanii mkubwa ambaye huwa tayari kufichua siri yake ya mafanikio, hususan katika kukuza idadi ya mashabiki, jambo ambalo huwaacha wasanii wadogo wanaoanza mziki wakitapatapa na mwishowe kufanya makosa mengi ambayo yanaweza kuepukika iwapo wasanii wakubwa wangeshirikiana katika kukuza vipaji vipya katika tasnia. Wivu wa maendeleo umetawala mioyo ya wasanii wengi wakubwa ambao wewe kama msanii mdogo ukikutana nao watakuchekea ukizungumza nao na kukuponda unapo wapa kishogo. Ijapokuwa hakuna utaratibu rasmi wa jinsi ya kukuza idadi ya mashabiki.Kupitia miaka ya kadhaa ya kutazama kukua kwa tasnia ya mziki wa kizazi kipya kanda ya pw

SLEEM-G AZIDI KUWAPA MOTISHA VIJANA WA PWANI

Image
  Ni msanii aliyeanza mbali,akapitia shida za vijana na matatizo yanayowakumba wasanii. Sleem G wa outta-limits ambaye ndiye mwanzilishi wa UNAWEZA CAMPAIGN kamwe hatotia kikomo kuwapa ushauri wasiojiweza,mayatima na vijana katika jamii. Sleem vilevile alivuma kwa vibao vya UNAWEZA akimshirikisha TOTTI na CHANUKA UJITEGEMEE.  Tulijaribu kuwasiliana naye na alikuwa na haya ya kusema......" I 'm currently visiting different youth groups around coast region concerning #Youth Empowerment.. i believe in change and great leadership and what i want to see is a better growing society whereby the youth become great respected leaders and business people..so by that i am making sure i interact with as many youth groups ,empowering and making them realize the potential they have to change this great nation through their different talent skills...... ."      Sleem G Anaweza,mimi naweza,je wewe?  

CHIKUZEE KUFANYA COLLABO NA MKALI WA BONGO

Image
Msanii Chikuku Abdhallah almaarufu Chikuzee ambaye sio lazima tumtambulishe kwa kuwa wengi wanamfahamu sana ametoa videoteaser ya wimbo wake SO SIMPLE . Wimbo huo ulioandaliwa chini ya HORNET RECORDS kwa produza Tk2 bado haujaisha na Chikuzee alikuwa na haya yakusema........." Ile ni teaser tu yakualert watu nyimbo bado haijaisha but na plan kushirikisha msanii flani wa bongo katika hiyo kazi ....." Habari ndio hiyo!!

WASHIKA DAU WA MUZIKI WA PWANI NA HIGH SCHOOL WALIZOSOMEA

Image
 !!!! Leo tumetoboa siri ya baadhi ya wasanii wa pwani.Je wajua kwamba hawa wasanii walisomea shule hizi za upili ???   1.DAZLAH-SHIKA ADABU SECONDARY SCHOOL  2.LADY CONNIE-NAIROBI GIRLS ACADEMY 3.NOOR MWAMBA-LIKONI SECONDARY SCHOOL  4.DJ IVORY-LIKONI SECONDARY SCHOOL  5.PRODUZA EMMY D-ST MARY'S YALA  6.SUSUMILA-CHUMANI SECONDARY SCHOOL. 7.AZALIA-NGOZI GIRLS HIGH SCHOOL  8.PRODUZA TEE-MAZERAS HIGH SCHOOL  9.MIKE BWAX-KINANGO SECONDARY SECONDARY SCHOOL  10.SULTAN WA PWANI-TARASAA HIGH SCHOOL.  11.RAP DEM-ESALWA HIGH SCHOOL.  12.PRODUZA AMMZ JADIDI-KWALE HIGH SCHOOL 13.MTALIANO ELIANO-WAA BOYS HIGH SCHOOL  14.PRODUZA NOIZER-MWAKIRUNGE HIGH SCHOOL  15.KIDIS THE JEMBE-ECKENFORDE SECONDARY TANGA Next episode coming up soon

SOMA KALI ZETU ZA RADIO KAYA

Image
Kwa masafa ya 93.1 Mombasa 94.9, Voi na 99.7, Malindi skiza RADIO KAYA, Show inaitwa KALI ZETU ambayo huwa kila JUMAPILI kuanzia saa mbili hadi tatu usiku. Presenter ni Sister Shanniez.   Voting hufanyika kupitia SMS nambari 20931 kuanzia Alhamisi na Ijumaa (kayaflavaz) na jumapili (kalizetu) CHATI YA KALI ZETU WIKI HII  1. ESCOBAR & SHABIG – KUBALI MATOKEO  2. HASCO & MOODY T – PINGU ZA MAISHA  3. HARSH B – MPENZI BURUDANI  4. SUDIBOY & KALICHA – SHOBOKA  5. 22 – NIKIKUONA UMENUNA  6. ALLY B – UNAWEZA CHEZA  7. MADDY MSWAZI – NIMEAMUA  8. SUDI MANJEWINE – POTELEA MBALI  9. OMMYKESI & ALIBABAZ – NITULIZE  10. SHEPHERD & KEN S – MTOTO MZUKA

FRIDAY ROADSHOW

Image
FRIDAY: ROADSHOW BABKUBWA KUANZIA MTWAPA HADI MALINDI WASANII:  1.KAA LA MOTO..  2.KIGOTO..  3.BIG BRAIN...  KILELE CHA ROADSHOW CLUB MGANDINI MALINDI WITH YOUR LECTURER GATES MGENGE DJ ELONN. . MASHAV MASHAV MALINDI CAMPUS KAENI MKAO WA KULA.

COAST PEOPLE HERE IS A NEW COAST KENYA TV STATION FOR YOU!!!

Image
 Pwani TV is a newly formed television channel, which is aimed at the Coastal communities. Pwani TV aims at providing high quality informational, inspirational, entertaining and educational programming and broadcasting. They aim towards the coastal audience, and they dedicate their efforts towards those interested in Coastal affairs. Local content production is the backbone of Pwani TV.  Viewers in the Coast value the diversity of their coastal culture, and programs which highlight their culture, problems facing us in terms of development, infrastructure,health, medical issues, and education are often unavailable on mainstream media. Community generated content can enrich unique cultural values through a bold approach to creativity not dependent on ratings or commercial values. Pwani Usanii blog writters reached out to one of the management crew and this what he hd to say......"Our five‐year plan seeks to ensure key communities have the resources to participate

PICHA ZA RAY-C ZATOKEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII AKIWA DRUG ADDICT

Image
Mwanadada kutoa Tanzania Ray C, Ametoa picha zake wakati alipokuwa anatumia mihadharati, picha ambazo zimezua hisia kali katika mitandao ya Jamii. Ray C ambaye alichukuliwa na Rais wa TZ Jakaya Kikwete na kupelekwa kwenye rehab kwa sasa yuko katika hali nzuri ya afya na ameanza kazi zake za mziki huku single yake ikitarajiwa kutokea hivi karibuni.

Kumi Bora Ya PiliPili FM

Image
Wapate Chigulu Ngala na Chris the man with the bass kila siku saa tisa hadi kumi ndani ya Pilipili fm na kila jumamosi kwa show ya KUMI BORA kuanzia saa nne asubuhi hadi saba mchana. Countdown ya jumamosi ilikuwa kama ifuatavyo:-  10-Azalia-niambie  9-Longombas-Got paid  8-Fidempa-Time after time  7-Dazlah-bangereba 6-Susumila na kigoto-rambirambi 5-Kidis ft vivonce-The jembe  4-JayA ft various artistes-dumbala rmx  3-Ara Stanley ft dogo richy-Kipande cha nyama  2-Jaguar-Kioo  1-Harsh b-Burudani.

WANAWAKE WA MJINI VOI WAONGOZWA NA NYOTA NDOGO KUANDAMANA KUMKASHIFU MUSTAPHA

Image
Baada ya kukuru kakara za mapenzi ya msanii Mustapha na binti Huddah Monroe kupamba moto hivi majuzi,wanawake wakiongozwa na msanii gwiji wa hapa pwani Nyota Ndogo waliandamana wikendi iliyopita jijini Voi wakimkashifu Mustapha kwa kuwadharau na kuwashusha hadhi wanawake. Mustapha anayevuma kwa video yake mpya ya 'lenga stress ' yasemekana aliomba msamaha. Nyota Ndogo alikuja wazi kupitia stesheni fulani ya redio hapa pwani na kusema kiini cha kuwa mstari wa mbele kumkosoa Mustapha kwa matendo potovu anayofanya.

DOGODOGO REMIX ft JULIANI,CHURCHILL na COAST ALL STARS!

Image
Msanii Lypso ameamua kuunganisha mtindo wa muziki wa pwani na vipaji mchanganyiko wa Nairobi. Lypso aliamua kuwashirikisha comedian Churchill ,rapper wa gospel Julian i na wakutokea hapa pwani kama HARSH B, DOGO RICHY, CHIKUZEE, MAJID KULE KULE na NYOTA NDOGO .Wimbo Dogodogo original uliandaliwa na studio za Jungle Masters chini ya producer Emmy Dee na ulifanya vizuri mno. Remix hii vilevile imeandaliwa na studio hio hio na mashabiki wautarajie hewani wakati wowote kuanzia leo.

PRODUZA TEE ATAMBULISHA KIPAJI KIPYA/

Image
Ni produza gwiji, stadi mwenye mkono mkali kwa kazi yake. Vilevile ana ujuzi wa kusimamia msanii mchanga hadi atakapopata weledi wa kujisimamia na kukubalika na mashabiki.Tunamzungumzia Produza,Meneja na CEO wa studio ya Tee hit s, Tee Tony . Produza huyu alimtambulisha Dazlah ,akafanikiwa,akamtambulisha Double-K akafanikiwa na leo amemtambulisha msanii mwingine kwa jina Wynas . William almaarufu Wynas ana nyimbo nne.Wimbo alioufanya wa kwanza unaitwa ' Ma beib ' akimshirikisha Dazlah ,wa pili ' Unanionea ',wa tatu ' Playboy ' na mpya kabisa unaitwa ' Rud i'.Msanii Wynas anakaa likoni na ana umri wa miaka 2. Chini ya mbawa zake Tee Tony tarajieni makuu kutoka kwa Wynas.

BAHATI MOMBASA TOUR

Image
Mombasa are you ready for Bahati ??  The Gospel Hit maker for Mama and machozi is coming to Mombasa on 6th April @YWCA likoni opp ACK guest house.. Entrance is 150/- for Adult and 100/- for kids. its gonna be fun... don't miss..

PRODUZA TOTTI APUZILIA MBALI MADAI YANAYOMKUMBA

Image
Baada ya baadhi ya mitandao ya kijamii na magazeti kutoa habari za kutatanisha kuhusu produza msanii Totti wa Kg records kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na msanii wa kike Rashan( styro-smyro akishirikishwa na Amoury beybie ) na kuwa mtoto wa Eve wa nzumari ni wake.Totti amejitokeza na kuvunja ukimya wake na kukashifu vikali madai hayo.Produza huyu aliyevuma kwa kibao 'hawakufai' alinakili kwenye ukurasa wake wa facebook hivi ,"I NEED TO MAKE THINGS CLEAR HERE. THERE HAS BEEN STORIES DOING ROUNDS ON BLOGS ABOUT MY PERSONAL LIFE. FIRST, LET ME MAKE IT CLEAR THAT I HAVE NEVER DATED “RASHAN”(KENYANARTIST AND BUSINESS WOMAN). SECONDLY, I AM NOT THE FATHER TO EVE’S(NZUMARI AWARDS CEO) SON. THAT IS CLEARLY DESPICABLE AND ALSO IS DEFAMATION OF CHARACTER. I WISH TO DISASSOCIATE MY SELF FROM ALL THESE RIDICULOUS ARTICLES." Nadhani mashabiki mmesoma kutoka kwa Totti mwenyewe.Amekomesha ubishi.
Image
DOGO RICHIE KWA MARA NYINGINE TENA/// Kila anapotoa wimbo huwa hit,kusema ukweli Dogo Richie habahatishi.Gwiji huyu aliyetamba kwa vibao kama:-naona raha,sijasahau,sina raha na hivi majuzi hakuna kulala amerudi tena kwa ukumbi.Richie Ri kama wengi wanavyomuita aliyesajiliwa ndani ya kambi kuu ya Jungle Masters chini ya produza Mshale bora almaarufu Emmy Dee ameandaa kibao kipya kwa jina MAPENZI HAYANA MJUZI.Wimbo huo ambao upo tayari kwa sasa utaachiliwa rasmi mwisho wa mwezi huu.

Shiney na Simama Records wajibizana

Image
Mtoto wa kike Shiney ametokea ni kuyaweka bayana mambo yaliyo mkumba alipokuwa Simama Records akisema kuwa Record Label hiyo haikutimiza ahadi iliyompa alipo sign deal ya miaka 3 na wao. Kulingana na Gazeti la Spice Magazine (The People) , Record label hiyo ilimlazimisha kuishi kwa studio miezi 3 kando ya masaibu mengineyo. hii hapa hiyo story "When Simama Records launched its offices in Nairobi Donholm area, many had high hopes for the new studio. And in a blink of an eye, the label signed one of Mombasa' top songstress Shiney. However, the honeymoon seems to have come to an end with things taking a sudden turn. Shiney who had signed a three-year-contract with the label is said to want out due to what she alleged was failure by Simama Records to honour the penned deal. In the contract, Spice has learnt that she was supposed to be provided with a house in Nairobi and this did not happen. "When they asked me to join t