Alishika
sana chart za muziki wa pwani na kuingia mitini. Baada ya kimya kirefu
mkali wa hiphop ambaye wengi hupenda kumsifu kiupande wa commercial
alirudi kimtindo na kutubwagia zigo kali kwa jina MIC-CHECK. Katika wimbo
huo Crazy-K amesema wananiita kwa Cypher na bado nawashinda.....mara
wanakuja wanapotea kama nyimbo za grandpa. ...Hii inadhihirisha wazi kuwa
kunayealiyekuwa anamuingilia
hasa kwenye sanaa ys pwani kwani pwani ndiko one hit wonders wengi.Je
unadhani ni nani aliyekuwa akishambuliwa kwa diss hii?
PICHA ZA RAY-C ZATOKEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII AKIWA DRUG ADDICT
Mwanadada kutoa Tanzania Ray C, Ametoa picha zake wakati alipokuwa anatumia mihadharati, picha ambazo zimezua hisia kali katika mitandao ya Jamii. Ray C ambaye alichukuliwa na Rais wa TZ Jakaya Kikwete na kupelekwa kwenye rehab kwa sasa yuko katika hali nzuri ya afya na ameanza kazi zake za mziki huku single yake ikitarajiwa kutokea hivi karibuni.
Comments
Post a Comment