Binti mshindi wa tuzo za Nzumari na Coast awards amerudi tena kwa
kishindo kikuu. Mrembo Huyu ambaye yasemekana alikuwa Tanzania amerudi
na kuruka ndani ya Tee hits record na kutayarisha kibao kikali kwa jina
Melody. Mashabiki kuweni tayari kuupokea ujio hii mpya.
Comments
Post a Comment