POROJO ZA WIKI......KAZI NI KWAKO.NI SAWA SI SAWA????
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Je ni
sawa kwa Msanii wa Kike kulala na Producer wake...? Au msanii kwa
msanii, au hata Presenter na msanii...??? Kwa sababu hawa wote ni work
mates...??
Mwanadada kutoa Tanzania Ray C, Ametoa picha zake wakati alipokuwa anatumia mihadharati, picha ambazo zimezua hisia kali katika mitandao ya Jamii. Ray C ambaye alichukuliwa na Rais wa TZ Jakaya Kikwete na kupelekwa kwenye rehab kwa sasa yuko katika hali nzuri ya afya na ameanza kazi zake za mziki huku single yake ikitarajiwa kutokea hivi karibuni.
SAHAU BAIKOKO NA VIDEO ZA SNURA....HII HAPA ITAKUPAGAWISHA!!!! Kuyeyusha viuno na misakato ya tumbo na makalio ndio mvuto wa video nyingi za muziki w kileo wa Zanzibari na visiwa vya pwani mwa Afrika Mashariki. Video ya "karibu Mombasani" ya wasanii Benso, Kigoto na Miss Gee Gee imeamua kuvuka mipaka yake na kuachia zaidi ya mitindo ya baikoko na kusakata viuno chini kwa chini na kuvipelekwa sako kwa bako ? Sababu kuu ni gani? Labda muelekezi wa video hii ambaye ni Peterz hakutaka kuwacha nje kipengele chochote kile cha tamaduni za upwani....tazama picha hapa -- >>
Huku ikiwa bado trending mitandaoni, mkanda wa ngono wa Dj Creme amezua gumzo. Picha hii ni ya mwanadada kwa jina Halima Nassir aliyegwaragazana na Dj Creme.
Comments
Post a Comment