WILBERFORCE WA HEARTBEAT ASHEREHEKEA BIRTHDAY YA MPENZIWE KWA NJIA SPECIAL!!!


Promoter gwiji na muandalizi tamasha mashuhuri pwani, Wilberforce Mwikya wa Heartbeart entertainment leo hii ana furaha ya kukata na shoka pale anaposheherekea birthday ya bibi yake. Wilberforce aliweka picha ya binti huyu mzuri kwenye ukurasa wake wa facebook na kutangazia ulimwengu uzito wa penzi lake kwake.Wilberforce Jeff Mwikya Dah! .Binti huyo kwa jina Juliet Mkube hufanya kazi Coast Bus Mombasa office na yupo na miaka 23. Party ya sherehe hiyo ya birthday itafanyika Southcoast, Diani pale Jacaranda hotel. Vilevile promoter huyu amevunja ukimya wake na kutufahamisha kuwa amefungua pub kadhaa katika maeneo ya Majengo mapya Likoni, na punde atarudi kwenye ulingo wa uandalizi wa tamasha za burudani.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!