DOGO RICHY KUFANYA COLLABO NA WYRE


Baada ya kufanya muziki mzuri kwa muda mrefu na vilevile kushirikishwa kwenye collabo kali ya DOGODOGO REMIX, Msanii Dogo Richy aliyetamba na vibao kama:-naona raha, sina raha, wanionea na nyinginezo inakisiwa kuwa yupo matayarishoni ya kutoa collabo kubwa na msanii wa dancehall Wyre. Richie Ri hivi majuzi alikuwa Nairobi na alipata nafasi kuperform ndani ya club Tribeka na wasanii kama Bahati na Ay.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!