VIDEO YA VIVONCE ILIYOZUA UTATA KUMALIZIWA HIVI KARIBUNI.


 Baada ya kuandaa video ya wimbo wake Yilele na kugonga mwamba katikati kwa tuhuma na vijimambo vidogovidogo visivyoeleweka.Binti mwenye urembo,umbo na sauti iliyokolea utamu Vivonce alikuja wazi na kutuvunjia mbarika kuwa producer wa video hiyo ambaye ni Hamza Omar wa One point One Montage atawasili Mombasa wiki hii kuendelea na uandalizi wa video hiyo.Vivonce aliongezea kuwa video hiyo itamaliziwa jijini Nairobi na mashabiki watarajie kazi nzuri itakayowaburudisha.

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA