VIDEO YA VIVONCE ILIYOZUA UTATA KUMALIZIWA HIVI KARIBUNI.


 Baada ya kuandaa video ya wimbo wake Yilele na kugonga mwamba katikati kwa tuhuma na vijimambo vidogovidogo visivyoeleweka.Binti mwenye urembo,umbo na sauti iliyokolea utamu Vivonce alikuja wazi na kutuvunjia mbarika kuwa producer wa video hiyo ambaye ni Hamza Omar wa One point One Montage atawasili Mombasa wiki hii kuendelea na uandalizi wa video hiyo.Vivonce aliongezea kuwa video hiyo itamaliziwa jijini Nairobi na mashabiki watarajie kazi nzuri itakayowaburudisha.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!