WASANII WA KIKE WA PWANI WAZUNGUMZIA KUHUSU SHERIA MPYA YA NDOA NA KUOA.


Ni Juzi tu Rais Uhuru alitia sahihi mswada wa kuoa bibi zaidi ya mmoja na leo wasanii wa kike wa pwani wamevunja mbarika na kuzungumzia jambo hilo. NYOTA NDOGO alikuwa na haya ya kunena..."sasa wanawake ndio watakao tafuta mpango wa kando kwa bidii.mume moja wake wanne?ukija kwangu umechoka kama nini hujiwezi.mume anaitaji mapumziko.haya akiwa na hawa wanne watapumzikaje?ndio kuridhisha wengine wengine kupata makombo yasio watosha.mpango wa kando." Naye SIS P hakusita kuöngeza chumvi na kunena hivi...."hehe ati polygamy is now legal in kenya.. mimi bwanangu akiongeza bibi mimi pia naongeza bwana na we be equal".Je wewe maoni yako ni yapi?

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!