BROTHERPEACE: "SIHITAJI MAPENZI NA SITAKI KUSUMBULIWA


" Mkali wa miondoko ya mduara na mambo ya kiswazi BROTHERPEACE amekuja wazi na kusema yanayomsibu.Mwanamuziki huyu ambaye pia ni mtangazaji wa kituo flani cha redios amesema kamwe hataki kusumbuliwa na mabinti kwa kutumiwa inbox na mabinti kila mara.Brotherpeace alikuwa na haya ya kunena........"Sihitaji mpenzi coz nimechoka kutongozwa kila Saa na wote hawana mapenzi ya kweli mpaka pale Mungu atanijalia mwenye kheri nami ndio nitakuwa naye lakini sio kwa sasa.........sina haja nao hata wanifuate vipi siwataki..." Habari ndio hio.

Comments

Popular posts from this blog

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.