NYOTA NDOGO COLLABO NA UKOO FLANI NDANI YA GRANDPA RECORDZ


Magwiji wakuu wa muziki wa pwani ukipenda unaweza kuwaita coastal Kenya music legends Ukoo flani na Nyota Ndogo walikuja pamoja na kubadili mawazo. P.O.P ambaye ni mmoja wa kikosi cha hiphop Ukoo flani aliongea na Nyota Ndogo na wakaelewana kuwa watafanya kazi Grandpa Records. Nyota ndogo ndiye aliyetoa wazo hilo la ushirikiano mbele ya Refigah wa Grandpa. P.O.P naye aliunga mkono huku Refigah akiwakaribisha na kuwaambia wakiwa tayari waende Grandpa Records kufanya muziki. La kushangaza ni huo mtindo,style na beat za Grandpa,Ukoo Flani wataflow nazo kweli?

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!