TEN BALLZ NA MIKIRINI WATIA MBWEMBWE KWENYE VIDEO ZAO


Huku kiki za video zikizidi kuwapa wasanii mshawasha wa kufanya kazi kali za muziki. Wasanii Ten Ballz na Mikirini waliamua kuyavulia maji ya kina kikuu.

Ten ballz ambaye ni mwanamuziki wa afro-fusion na rnb naye Mikirini ambaye ni rapper anayefoka vikali walikuja pamoja na kuwaandalia mashabiki zao video iliyojaa mbwembwe kibao. Video hiyo kwa jina "walepale" iliandaliwa Nairobi na vilevile audio ya wimbo huo ilifanywa jijini Nairobi. Pata kujitazamia mwenyewe. Hii hapa... https://www.youtube.com/watch?v=n9IHketjEwo

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!