Namba moja????CASH ERA AMTUMIA PRODUZA FLANI UJUMBE WA KEJELI!!!!


Baada ya kumpasha Produza flani (tutakayembana jina kwa sasa ila siku yake itafika) kwa kusema Deborah ndio wimbo mkali pekee kwenye studio ya Produza huyo.Cash Era amerudi na vigoa vikali na kugoa studio flani. Msanii huyu aliyeachia kibao chake kwa jina CHIJEGO hapo juzi alimshukuru sana Produza Ammz kwa kumuokoa kutoka mikononi mwa "Wamisri"..... (hahaha).Vilevile aliongezea eti....kama ni Number basi Tempoz ndio moja!!!!! Haya jijazie!!!!

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!