HAWA NI WASANII NINAOWAFAGILIA ZAIDI PWANI!!! ALI MANZU WA KTN ASEMA NA PWANI USANII!!!


Ni mwanahabari sifika na tajika Kenya nzima,muite Ali Manzu.Manzu anayefanya kazi ya uanahabari kwenye runinga ya KTN ya shirika la standard alipiga gumzo na mwandishi wetu hodari,Godwin Wambua na alipasua mbarika kuhusiana na wasanii anaowapenda zaidi hapa pwani.

GODWIN WA PWANI USANII: Ali Manzu wewe ni wa asili ya kipwani na umelelewa kuku huku pwani.Leo nataka utuambie,ni msanii au wasanii wapi unaowafagilia sana hapa pwani?

ALI MANZU:Shwari kabisa.Wasanii ninaowakubali pwani ni hawa Iddi Singer namkubali sana Kaa la Moto kisha Ukoo flani bado ni miti kwangu.

IDDI SINGER


KAA LA MOTO


UKOO FLANI

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!