NAPENDA NGONO SANA KAENI MKIJUA HIVYO!!!! MSANII TAJIKA PWANI AFUNGUKA!!!


Msanii Kigoto Mmbonde,ameamua kuyaweka wazi.Baada ya kufuatwa na mashangingi na mabinti kadha wa kadha kwenye mitandao hasa ya fesibuku na whatssap,msanii huyu ameamua kuwaambia ukweli wake.Kigoto anayevuma kwa kibao chake kipya NIENDE alichoshirikiana na Iddi Singer aliyasema haya ili kuwakaribisha wanawake wote wanaompenda.


"Kama kuna msichana yeyote anayevutiwa na Mimi basi akae akijua akija kwangu ngono lazima na kumuonja lazima.Wajua watu siku hizi wanajidai sana eti kufichaficha siri zao ilhali wanapenda mambo hayo.Afadhali tuambiane ukweli ndiposa Mimi nimesema napenda ngono na sioni lolote la ajabu wala aibu." Alieleza Kigoto.

Baada ya kutoa video ya Hello Hello iliyoshika kwa sana tu,jamaa huyu ameachia kichapo kingine kwa Produza wake TK2 na kibao hiki NIENDE sio tu kikali bali ujumbe unaowasiloshwa pia ni mzito ajabu!!!

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!