BARUA KWA WATU WA UKUNDA!!!!!

BARUA YA UKUNDA(UK)/DIANI BEACH KUTOKA KWA DADDY Q.

Leo nimekesha studio nikifanya kazi huku nikiskiza kazi za nilipotoka Ukunda city south coast kwale county aisee siogopi kusema ukunda believed n made me,nilianza Grip wear ukunda,i got my first daughters in ukunda,i got my wife in UK and im proud of that,ukunda ni town utajua ki german kwa streets kuna watu washa save wakaruka mpaka ng,ambo lakini sasa ni machizi wamesota kama kitambo,i had a dream though i came from the ghetto i,m the first rapper to put ukunda on the map musically with back to back hits enzi Brown mauzo alikua boy wa kunipelekea bling kuoshwa kwa sonara,enzi George Uduny aka Kingstin ni maniac mighty pigo,enzi Rudi Wu Makeke bado yuko makeke family na kina cliff hajashika bazooka la kenya army,enzi Producernau Mzee Wakilingile na Produza Noor Mwamba bado ni wasanii,enzi Fisher Man na Sharo Baro Sketcher hawajaanza kuvaa zile belti kubwa zimepigwa welding,enzi Tk Mbili hajajua kutumia fruity loops,enzi hatukujua Madebe ataandika blog na english alikua mwakigwena primary i guess,enzi Petra hajaingia studio,enzi Awie Wao ndio ana studio modern pekee akirole na marehemu baba nyanduse,Suzuki na Risasi ,enzi Eddy Ticha, Chitwe Kasaga na Shekei wakijiita watapishi wakivaa uniform za kurap,enzi Deejay Nas B hajagusa machine za the office enzi Pamohai akiishi maskrepu,enzi ma starring ni nigga for life na young love,enzi sande na ali mtanga hawajakula unga,enzi Amoury Beyby hajaenda city records alikuwa sanaa wavelab akivaa pete kumi,enzi Redskatty Bonge haja record jitu,enzi Teddy Mwanamgambo hajashikilia kaya fm alikua Rdc,enzi Busy k hajajua kulegeza nyonda,enzi Nuren Mwachotea hajakula gym ni wakina baby toki na breb founder wa gym ya showground,enzi maji ya asilia hayapo,enzi Francis Wandale hajakua manager alitamani kuni promote kimziki lakini hakua na hela i made young guys and many people from ukunda believe they can make it i had a dream with no cash nilipiga msasa sana ma boat diani marine nikiwa na Cosmas Odada though i had a hit song playing on the radio wachana na ma mc wa sasa hawana kitu na hawataki kazi we hustled hard muulize Mushangi Derrick,thanks to Kim for love alinipa platform ya ku perform stage yake for 10 years na the least he paid was 6,000,Ibrahim Kamau huyu jamaa Mungu amjalie alinidai sana lakini alielewa nilipotoka singeweza kumlipa,Morris Ouma ama big omiery dah siamini umefaulu ki life watu walikudharau sana ukalala studio yangu sana 3rd floor but i believed in your talent when no one saw it ulikua mwani mpaka ukam bakura uhuru kenyatta hela za vijana na kutoka jogging big up,nilitamani kuwork na Dj Moddy lakini sikua na hela km cool P steda ngangari but niliamini nitatoboa,Mo Musana alipanga shows za wasanii kibao nyingi zilikunywa maji mpaka Hon Abdalla Kasangamba na Teddy Manabii wakampokonya wireless mic lakini alilipa wasanii,Dj Lucky na were walisaidia machipukizi wengi japo waliwapokonya mademu nashukuru nilitoka ukunda bila kukanyaga kwa mganga maanake hili bichi wanga kibao only the strong survive muulize Tee Hits alikuonja akakimbia,Poxy D'pressure na big mike planet hawa ndio ma don wa video halls ukunda all in all nashukuru UKUNDA city,Mungu anijalie uzima na hela kibao nijenge bonge la msikiti na church ukunda maanake ukunda ni over hollywood u.s movie haziishi machizi kibao,wakina jombaa wakaweka uk on the map with wrong reasons bottom line I MISS UKUNDA MEN.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!