SUDIBOY ATOA WIMBO MPYA AKIMSHIRIKISHA AMILEENA.


Sudiboy Mohamed aliyetamba kwa mara ya kwanza kwa kibao 'banati' amerudi tena kwa kibao 'naona bado' akimshirikisha Msanii toka Ukunda anayefanya muziki Nairobi kwa jina Amileena.Collabo hio iliyoandaliwa ndani ya studio za grandpa recordz imewaleta wakali wawili toka pwani wanaofanya muziki wao Nairobi.Sudiboy alinakili haya leo kwenye ukurasa wake wa facebook " Nashukuru sana watu wangu kwa kuniweka juu mpaka saa hii na bado nitazidi kuwapa mziki mzuri so ngoma yangu mpya tayari SUDI FT AMILEENA -NAONA BADO ndani ya studio ya grandpa..."

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!