NYOTA NDOGO:TATIZO NI POMBE!!

 Binti mwenye sifa kemkem na gwiji wa muziki wa pwani Nyota Ndogo hawachi kugusia mambo yanayotikisa jamii kwa njia mbaya.vNyota,ameandaa wimbo mpya kwa jina 'pombe'. Wimbo huo uliorekodiwa chini ya uandalizi wake Produza shupavu Totti upo kwenye album mpya iitwayo Mapanya.
Nyota,alitoa wimbo huo kwa ajili ya visa na mikasa inayotokea nchini kwa ajili ya pombe;watu kufa,ajali za barabarani na kadhalika.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!