PRODUZA BILLY MOSES ATOA NYIMBO MPYA KUHAMASISHA USALAMA!


Huku Kenya nzima ikilia na kuongea kuhusu mambo ya usalama nchini Produza Billy wa Newdawn recordz aliyewaletea kibao Mkenya Daima amerudi kwa mara ya nyingine tena kuhamasisha jamii.Billy,ambaye ni mmiliki wa Newdawn recordz likoni amerekodi wimbo mpya kwa jina 'usalama' na ameahidi kufanya muziki utakaoelimisha jamii kwa mambo yanayotukumba.Wimbo usalama utausikia hivi karibuni kwani unaachiliwa rasmi wiki hii.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!