MADAWA YA KULEVYA YASUMBUA NA KUMPOTOSHA MMOJA WA KIKOSI CHA UKOO FLANI.

Huku wengi wa wanamuziki wa pwani wakiimba na kukashifu utumizi wa madawa ya kulevya yaonekana wengine wanaenda kinyume cha wenzao.Habari zinazotufikia ni kwamba mmoja wa rapper gwiji aliyekwenye kikosi cha kundi lenye hadhi kwenye muziki wa pwani,UKOO FLANI yuatumia madawa ya kulevya.Cha kusikitisha zaidi ni kuwa bingwa huyo ameathirika vibaya na madawa hayo hadi hawezi kumaliza muda wa saa moja bila kutumia.Meza yetu ya habari ilipashwa kuwa msanii huyo wa kikosi cha Ukoo flani anatumia madawa kwa jina la mtaani 'MONDO'.Swali ni je,mashabiki tuelewe vipi? Msanii si ni kioo cha jamii ?

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!