NIKO LOW LYRICS BY BEKA THE BOY


SONG:NIKO LOW
ARTIST:BEKA THE BOY
PRODUCED BY:SANGO(MALINDI RECORDS)



VERSE 1
Kuna muda mwingine huwa Mimi natakaga
Kuwa na wewe kabisa
Lakini ndivyo hivyo huwa wewe unanimwagaaaaeehh
Unanifanya mpaka ghetto mi natorokaga mpaka naachana ni visaa ili nipate tu ruhusa ya kukuonaga
Ila kwanini umejaza hisia penzi umelitia ila
Nyingi fikira zitafanya mpaka taira

BRIDGE:
Penzi la vurugu rugu mi siwezi
Mbona unanipa uchungu na stress
Penzi la vurugu rugu mi siwezi
Mama aaahhh

CHORUS ×2
Niko low low
Niko low low
Niko low low
Niko low low
Niko down low
Niko low low
Karibu unitulize
Tutulize moyo

VERSE 2
Nahitaji kuwa nawe ili nikuweke ubavuni mwangu
Hisia zangu zielewe nikupe chochote kutoka kwangu
Hakuna ajuaya mapenzi zaidi ya
Romeo na Juliet
Ningeweza ngefanya bajeti
Mambo ya gazeti,mi siwezi
Penzi la kubahatisha,mi siwezi
Kukimbizana makilo mita
Mi siwezi

BRIDGE ×2:
Penzi la vurugu rugu mi siwezi
Mbona unanipa uchungu na stress
Penzi la vurugu rugu mi siwezi
Mama aaahhh

CHORUS ×2
Niko low low
Niko low low
Niko low low
Niko low low
Niko down low
Niko low low
Karibu unitulize
Tutulize moyo

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!