CHIKUZEE AWAKANA C-NEW NA PRODUZA B.I

Msanii sifika pwani aliyevuma kwa vibao via kukata na shoka Chikuzee amemwaga kuku kwenye mtama. Chikuzee au ukipenda zee la mavuvuzela alidai na kukana ya Kuwa hakukuwa na kundi lolote la kimuziki aliloliunda.

Msanii huyu, anayevuma kwa kibao chake kipya, soma, aliyasema haya kupitia gazeti Moja mashuhuri la Kiswahili.
Duru zinaarifu zaidi kuwa Chikuzee alifanya nyimbo moja tu na wasanii hao wala hajui kama Dosari ni kikosi cha muziki au la!!!!!!!

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!