COMMENT YA ZARI KWA AKOTHEE YAZUA BALAA!


Comment ya Zari wa Diamond Platnumz kwa msanii Akothee baada ya kupost hiki



Zari acomment kwa Akothee ambae alipost instagram kuwa "Ni nafuu kwake kuwalisha na kuwatunza mbwa 32 lakini sio kuwafurahisha marafiki 5...!"

Kutoka +254, msanii wa Kenya Akothee ambae amewahi fanya hit ya sweet love na mkali wa bongo fleva Diamond Platnumz. Inaonekana alipost hivyo kutokana na fadhila mbaya anazopata toka kwa marafiki zake. Tazama alichopost na majibizano yao.





Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!