SIO JICHO NINALOZUNGUMZIA BALI JICHO LA MOYO-SHINEY ANNE APIGIA MUHURI UJIO WAKE MPYA.


Huku idadi ya wasanii wa kike ikizidi kuyoyoma,Shiney Anne amejaribu kuziparaga kuta za sanaa ya pwani na kutaka kufikia kilele.Binti huyu aliyechini ya studio za Bigfoot ameachia kibao kwa jina Jicho ambacho wengi wa mashabiki wamewachwa mdomo wazi kwani hawajui ni jicho gani linaloongelewa.Ni jicho kama kiungo cha mwili ama ni ujumbe fiche? Kutufafanulia zaidi huu hapa usemi wa Shiney kuhusiana na wimbo wake......."Wimbo jicho nazungumziama jicho la moyoni.Kwa hio hata vipofu macho wako nayo ila wanaona kwa moyo.Nyimbo yangu mpya haijabagui vilema wa macho.Naomba mnipe support kwa ujio wangu mpya."

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!