CHANGEZ NDZAI AIKABILI SANAA YA PWANI VILIVYO.


Msanii Changez Ndzai, ambaye kwa wengi wanamfahamu kwa uandishi wake wa mashairi na pia hivi majuzi aliachia kibao chake cha kwanza kwa jina ''Msaada'', ameamua kuchukua hatua madhubuti ilikuona anapanda katika ngazi za juu kwenye sanaa. Changez amekua akitembea kutafuta Shows Malindi hapa Mombasa na Kilifi. Akielezea meza yetu ya habari kwanini amekua akipeana shows kipao mbele kuliko radio airplay, Changez amehoji mashabiki wa kweli wako kwenye hizi show. Alisistiza kuwa shows mbali nakuumpa msanii kipato zinampa msanii twaswira kamili kama kweli anafaa ama hafai, kwake yeye anasema ameshangazwa sana na mashabiki vile wanavyo mshobokea kazi zake tokea spokenword hata nyimbo.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!