MAHABUBA ISHAPIKWA IKAPAKULIWA! TAZAMA VIDEO YOTE HAPA!!


Imekuwa midomoni mwa watu na imetrend mitandaoni kwa sana tu. Ila Leo lazima kieleweke...Tunazungumzia video ya Mswazzi Masauti "Mahabuba." Produza Tedd Josiah amewatoa wasanii wengi tu na hapa hajacheza karata zake vibaya. Mahabuba, video iliyochukua siku sita ikiandaliwa sehemu tofauti huku pwani lazima itasumbua sana sio kwa runinga, radio, mitandaoni hadi mitaani. Mswazzi Masauti amejaribu kuweka fleva za kimwambao kwenye mdundo tulivu wa rnb uliokolea nyuzi za gita na sauti tamu za vinanda. Video maridhawa yenye mvuto mzuri na rangi za kupendeza zilizooana vyema na ujumbe unaopitishwa imeleta dhana nzuri kwa mada ya mahaba inayozungumziwa. Tusitumie mate ilhali wino upo.......video yenyewe hii hapa.Tazama kisha utoe maoni--------

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!