JE WAJUA MSANII WA KIKE MUMMY-D ALIPOTELEA WAPI??? PATA MAJIBU HAPA!!!


Huku wasanii wa kike wakizidi kutokomea hapa pwani. Meza yetu ya habari iliingia chini ya carpet na kutupa habari kuwa Msanii Mummy-D aliyevuma kitambo kidogo aliolewa na msanii French-C Makaps. Msanii French ambaye kwa sasa anatamba kwa kibao chake BADILIKA kilichotayarishwa ndani ya studio za Tee Hits aliwasiliana nasi na kutujulisha kuwa yeye ni mume wake Mummy-D name hivi karibuni wanatarajia mtoto.Vilevile French aliongeza kuwa anayo nyimbo mpya kutoka jikoni studio na ataiwachia hivi karibuni.

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA