JE WAJUA MSANII WA KIKE MUMMY-D ALIPOTELEA WAPI??? PATA MAJIBU HAPA!!!


Huku wasanii wa kike wakizidi kutokomea hapa pwani. Meza yetu ya habari iliingia chini ya carpet na kutupa habari kuwa Msanii Mummy-D aliyevuma kitambo kidogo aliolewa na msanii French-C Makaps. Msanii French ambaye kwa sasa anatamba kwa kibao chake BADILIKA kilichotayarishwa ndani ya studio za Tee Hits aliwasiliana nasi na kutujulisha kuwa yeye ni mume wake Mummy-D name hivi karibuni wanatarajia mtoto.Vilevile French aliongeza kuwa anayo nyimbo mpya kutoka jikoni studio na ataiwachia hivi karibuni.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!