JUMA SHIBE ASHINDA TUZO ZA PWANI CELEBRITY NA KUAHIDI MASHABIKI KITU!!!


Juma Shibe almaarufu MJ, muigizaji anayetamba kwa kasi baada ya kushinda tuzo za Pwani Celebrity Awards kupitia meneja wake Mjomba Khalfan wa Ukweli aliahidi kuwa kutakuwa na party itakayo andaliwa kusheherekea tuzo ya MJ.Tukinukuu maneno ya meneja wake Khalfan,"Tuna furaha sana kumsheherekea muigizaji wetu hodari Juma Shibe kwa tuzo aliyoipata.Na mengi zaidi yanakuja kwani tayari vipindi na filamu kabambe zimetayarishwa.Vilevile tutawaalika mashabiki nyote kwa party ya ushindi wa Juma Shibe."

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!