BAADA YA KUFURUSHWA KTN MWANAISHA CHIDZUGA APATA KAZI K24 TV.


Alifungishwa virago na runinga ya KTN alipokuwa mwanahabari. Tunamzungumzia Mwanadada mwanahabari aliye na mizizi ya hapa pwani; Mwanaisha Chidzuga. Dada huyu kwa sasa ana wingi wa raha kwani kampuni ya Mediamax inayomiliki runinga ya K24 imempa ajira na tayari ashaanza kupeperusha matangazo. Kwa hiyo wapenzi wa Mwanaisha Chidzuga rudini makochini dada kesha rudi ulingoni.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!