WACHANA NA DILI ZA KUSAJILI WASANII..... LIZZ JASOLJAH AFUNGUKA!!!!


WACHANA NA DILI ZA KUSAJILI WASANII..... LIZZ JASOLJAH AFUNGUKA!!!!

Promota na mshika dau mkuu wa sekta ya muziki wa Pwani Lizz Jasolja amekuja bayana na kutoa wasia wake kuhusiana na ishu ya kusajili wasanii wa muziki.
Mwanadada huyo aliyekuwa meneja wa Dazlah alifunguka haya pale alipofuatwa na bwenyenye flani ili waweze kufanya kazi pamoja.
Lizz alibandika maneno yake kwenye akaunti yake ya Facebook akiponda sana kuhusiana Na swala la usajili wa wasanii.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!