RAPPER MIKIRINI ALIKUA COUNCILLOR NA KUPOKONYWA KITI KWA BY-ELECTION.


Katika pitapita zetu tulikumbana na post ya rapper Mikirini na bila shaka post yenyewe ilitushangaza. Mwaka wa 2012,msanii alishinda kiti cha councillor na kukatokea tashwishi kidogo na kwenye by-election basi akaambulia patupu.
Mikirini kwenye post yake alidai kuwa a nataka kujiunga na siasa tena.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!