MATATU ZA MOMBASANI KUCHORA WASANII WA NYUMBANI!!!


Yaonekana kazi zimeanza kusifika kwa wingi mjini. Hii inadhihirika pale matatu kadha wa kadha zilipoonekana kubandikwa picha za wasanii wa pwani.
Mara Sudiboy,mara Susumila,Dazlah na Lavichunare.Cheki hapa-->>

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA