Posts

PWANI USANII ONLINE RADIO. CLICK HERE TO LISTEN!!!

Image
CLICK HERE -- >>>>> https://www.spreaker.com/user/9366849/exclusive-coast-kenya-music-pwani-usanii

SHIDA ALIZOPITIA KAA LA MOTO KWENYE VIDEO YA MAJINI

Image
Alikimya baada kufunga ndoa, wengi tulipodhani kwamba atauwacha muziki na kufukuzana na mambo ya familia,rapper mkali tokea Pwani Kaa La Moto Kiumbe alibadili kibamba na kutobadili mkondo. Kaa la Moto aliachia video yake 'MAJINI' iliyoandaliwa na Johnson Kyalo.  Video hiyo, yasemekana kwamba iliandaliwa Mara mbili baada ya mkoba wa director Johnson Kyalo kupotea na vifaa pamoja na data zote za video hiyo.  Video ya MAJINI iliyoandaliwa Lamu, ilipata pigo zaidi pale model alipokataa kurudia shooting ilhali alikua amelipwa.  Hata hivyo, La Moto hakufa moyo... Video ilifanywa kwa Mara ya pili na matokeo yalikua haya -- TAZAMA HAPA - - - - > https://youtu.be/TlGEeY-ZPQ0

YAKWETU BAND : ISINGEKUWA LIZZ JASOLJAH BASI TUSINGELIJULIKANA!

Image
Band inayopeta kwa sana tu, Yakwetu Band imetoboa siri ya mafanikio yao. Kikundi hiki kilichoanza anza mbwembwe zake mwaka uliopita 2016 kimemtaja Lizz Jasoljah kama msingi wao wa kutoka kimuziki. "Kusema ukweli ule, isingelikua Lizz basi tusingefika tulipofika. Manake tulipojuana naye ndio mambo yetu yalianza kufunguka na yuyu huyu Lizz ndiye aliyetupeleka kwa producer Ammz na tukarekodi ngoma kwa jina Olele. "Walieleza vijana hao. Yakwetu, ilipata umaarufu wa haraka jambo lililopelekea wao kuchaguliwa kama nominees wa Pwani Celebrity Awards. Kwa sasa ngoma yao ya ''sugar" ipo hewani na inafanya vyema Sana.

PRODUCER WA PWANI AFUNGUKA MENGI KUHUSU SANAA YA PWANI. SOMA ZAIDI HAPA!

Image
Produza msanii Lameck Boy wa Neptune records alifunguka mengi kuhusiana na sanaa ya Pwani hapo jana,25th. 7.2017. Lameck Boy aliongea haya baada ya kuona msukosuko flani ndani ya dau hili la muziki wa Pwani. Tukinukuu.... " Sanaa ya Pwani kikweli iko na muziki mzuri,ambao mtu anaweza penda kuusikiliza nakuushabikia,wasanii wako wenye bidii,maproducer wazuri pia,watangazaji pia wazuri wanaosapot muziki.Wako wasanii tajika kama Susumila,Ally B,Nyota Ndogo,Chikuzee,Sudi Boy,Dogo Richie,Fat S,Fisherman,Escobah,Simon Simz na wengine,wako maproducer tajika,nikiwemo,akiwa pia P Baindo,Amz,Emmy Dee,Toti,Noor Mwamba,Tk2,J Crack,Lai,P Lion,Mobiz na wengi ambao tunafanya kazi nzuri. 2;Vitu ambavyo vinaweza au vinarudisha nyuma sanaa ya Pwani ni vitu vitano.... " 1. Wasanii kutopendana,kutofanya kazi pamoja,wasanii kujiona bora kumliko mwengine. 2. Maprodusa pia kukosa kuja pamoja nakushirikiana,wengine kujiona wao ndio wakali kuliko wengine,produsa kujifanya anajua kila kitu,k...

RAPPER KNAMY KREEZY SHARES TEN THINGS YOU DIDN'T KNOW ABOUT HIM

Image
Fast uprising rapper Knamy Kreezy shares some secrets we didn't know about him. The Thika based trapstar was raised in the Coastal parts of Kenya and later shifted to Thika with his family. Read on.... Lights........ Camera...... Action!!!! Here is Knamy Kreezy for you!!! 1) I can do any type of music but people think I only do hiphop. (This is true) 2) I dont have a sports club(specifically football) although I really love sports. (Okay....) 3)The girl I'm dating right now is the first that am being faithful at. (that means he's been a player to all the other chicks.....mmmmmhhh) 4) Ive always thought of doing gospel music in my life but found myself doing secular. (Thats the voice of God calling, don't ignore it, hell fire is waiting!) 5)I got my first tattoo when I was 13 years old.   (OmG!!! Tatto at 13? Most of us would have been disowned by our parents) 6) I cannot sit down and listen to my first song and I dont even have it in phone be...

RAPPER OHMZ LAW MOMBASA AZINDULIWA KWENYE DOCUMENTARY YA HIPHOP SAVES LIVES

Image
Rapper gwiji ambaye vilevile ni mshairi mkali, Ohmz Law Montana ameshirikishwa kwenye documentary ya kimataifa kwa jina Hiphop Saves Lives. Ohms, amekuwa mstari wa mbele katika harakati za kuenua jamii kupitia hiphop. Jamaa huyu vilevile ameandaa video kali chini Ya director Johnson Kyalo.

MIMI SI PETER MSECHU WALA SIHUSIANI NAYE.MSANII WA TAVETA AONGEA.

Image
MIMI SI PETER MSECHU WALA SIHUSIANI NAYE.MSANII WA TAVETA AONGEA. Msanii anayeibukia kwa kasi sana, Nashipai ameamua kuongea kuhusiana na swala lake la kuitwa Peter Msechu. Nashipai, anayetokea Taita Taveta aliyaongea haya baada ya video yake ANGEJUA aliyomshirikisha msanii wa Bongo linex kutoka. "Watu wengi wanasema video ile ni ya Msechu na Linex ndiye aliyepiga kolabo Na Msechu ilhali ni mimi. Kweli twafanana kimpango ila sihusiani naye wala ile nyimbo sio yake. Nyimbo ni yangu nimemshirikisha Linex. "Alitueleza kupitia njia ya Simu. Tazama hapa video yenyewe iliyoandaliwa Na X Benjoes....... https://youtu.be/yO6GAjwdqLc