Posts

HII MTAIWEZA? STYLE MPYA YA DIAMOND PLATNUMZ, TAZAMA PICHA HAPA

Image
Mkali wa Bongofleva Diamond Platnumz ni msanii ambaye kwa sasa anayesemekana kuwa na uwezo mkubwa kifedha na pia  kiumaaraufu kutoka Africa Mashariki. Licha ya kushikilia style yake ya kimziki, CEO huyo wa WCB pia amekuwa akitoa mitindo kadhaa ya fashion na kama kawaida, hajakosa wakumfuata, hasa hapa Pwani. Baada ya kushinda tuzo 35 kwenye career yake ya kimziki, Diamond ametoka na style mpya. Je, atapata wa kunfuata? Tazama picha hapa PHOTOS (COURTESY)

MEET STEVE ES TAKING VIDEO PRODUCTION TO THE NEXT LEVEL.

Image
Story narrated by Steve Es himself... Lights!Camera!Action! "I started film way back in 2014. My inspiration came from watching the last airbender i was so drawn to learn the visual effects used so i started reasearching on some editing softwares. I started with windows movie maker went to hitfilm before finally landing on after effects I learned the basics and advanced stuff through youtube tutorials. I did a couple of projects in coast with artists like; Team ocean money Shelly kings Airbase family Around two months ago i got signed in bigdreams and i now work with Ricky Bekko. I, m set to realease my first project under big dreams some time this year."

PRODUZA GOGOLOW ARUDI KIMUZIKI BAADA YA KUPOTEA KWA UTEJA

Image
SIMULIZI ZAKE PRODUCER GOGOLOW.......... "Mwaka wa 2013 nilikuwa drug dealer nikiwa Rage records by 2014 nikaanza kutumia madawa while selling them.Kwa kweli biashara ikaja kubuma,nikaendelea kwenda mbio kwa ajili ya kupona kwangu sasa while I was having a family depending on me. Mwaka 2015 mwezi wa May nikaenda rehab kampuni moja inaitwa reachout rehabilitation centre kwa 4 months then baaa ya kutoka nikakaa kiasi then nikarelapse tena mpaka this year.Kwa kweli ilinirudisha nyuma kimziki,ila sijakata tamaa nimerudi tena ndani ya Malindi nafanya mambo kama kawa.Baada ya kufungwa jela kwa mwaka mmoja but bahati nzuri nikaachiliwa by power of mercy yaani msamaha wa Rais.Ujumbe wangu kwa ndugu ni waquit drugs waenjoy their lives with their families."

MEET THE HIGH SCHOOL PRINCE FROM LAMU,MUSICALLY BLESSED!

Image
As interviewed by Pwani Usanii. PWANI USANII:WHATS YOUR REAL NAME AND WHAT NAME DP YOU USE ON STAGE? MAN DULLA:My government name is Abdul Aziz Abdallah and my stage name is Man Dulla A.K.A Dula del Reshy. I also use Drazzey as my stage name too...quite a lot of names there! PWANI USANII: YOU LOOK YOUNG,HOW OLD ARE YOU? MAN DULLA:I'm 17 years old and i'm Still a student at Wiyoni Secondary school. PWANI USANII:WHEN DID YOU START MUSIC? MAN DULLA:I used to write music for quite a long time but I started recording early this year around April. PWANI USANII: HOW DO YOU HANDLE MUSIC AND SCHOOL? MAN DULLA:I never visit the studio when the school calendar is on. Mostly,I attend my recording sessions during the holiday. PWANI USANII:WHAT TYPE OF MUSIC DO YOU DO? MAN DULLA:When i started music i used to rap and do all hiphop stuff but i later found out that my potential was in swahili RnB and Afro-pop. PWANI USANII:HOW MANY SONGS HAVE YOU RECORDED SO FAR? MQN DULL...

HUBA MAHABA! MSANII DULLY MELODY KUMBE MPENZI WA RAPPER CML??

Image
Chambilecho wahenga,mapenzi ni kama kikohozi hayafichiki,hivyo basi msanii Dully melody ameamua kumwaga mtama waziwazi penye kuku wengi.Dully alizimwaga hisia zake kwa mwanadada CML mwanamziki wa Hiphop kutoka mkoani pwani.Msanii huyu wa kibao cha YAGAYAGA ameeleza kwamba anavutiwa na vitu vingi vilivyopelekea yeye kumpenda... "CML ni mrembo sana,wengi wanatamani kuwa naye ,hana dharau,wala kiburi.Ana uwezo mkubwa kwenye gemu,napenda kazi zake na zaidi ana roho safi sana.Sijasikia amegombana na mtu au ana bifu,"alitudokezea Dully. Ukaribu wao ndio uliochangia uhusiano wao kukuwa na kuamua kuwa wazi katika mitandao ya pasipo kuogopa.Hii ni baada ya wawili hao kuonekana Ukunda wikendi iliyopita na baadhi ya watu kuzungumzia. Kutoka upande wa CML ,ambaye ni MSANII wa kike anayefoka ajabu na anayesifika kwa kibao chake cha 'Bao nishafunga',haikua rahisi kupata jibu lake kuhusu uhusiano huo kwani hivi ndivyo alivyosema, "Love is a beautiful thing and every...

MC MIKE KAMA MC BORA NCHINI.SOMA HAPA!!

Image
MC MIKE KAMA MC BORA NCHINI.SOMA HAPA!! Ni kijana mtanashati na mwenye bidii sana,MC Mike. Baada ya kuwaburudisha kwa nyimbo za gospel kabambe,jamaa huyu alijibwaga mzima mzima kwenye ulingo wa kuburudisha hadhira kutumia usemi. Alikuwa kwenye Masaku Sevens kama Mc na Youth TV akizuru shule mbalimbali. MC MIKE ameteuliwa kwenye Xtreem Teeniz Awards na kumpigia kura SMS AH3 kwa nambari 21921. Name: Mike Nderitu Karemi Stage Name: Mc Mike County :Mombasa FB: MC MIKE IG: Mc_Mike_Kenya Twitter: MC Mike Kenya PWANI USANII:WHO IS MC MIKE? MC MIKE:Mc Mike is an Emcee, a tv host and event organiser. Pwani Usanii:How did you start emceeing? MC MIKE:I started as an artist and recorded some powerful gospel songs which upto-date are played in the local radio stations in Mombasa and Nairobi then later i bacame a deejay for three years.Then 2013 I went to a friends album launch and the mc failed to turn up so i decided "kuokolea" after the event everybody was aski...

Sauti Sol and Nyashinski better than gospel artistes, asema Procuer Amz

Image
Huku wasanii wa muziki wa injili wakijipata kwenye corner, Producer Amz wa Tempoz Records ametoa kauli yake kuhusiana na utata wa nyimbo za injili. Kulingana na Amz, Wasaniii wa nyimbo za Gospel wanaoibuka wameshindwa na kazi, huku akidai wasanii wa secular Sauti Sol na Rapper tajika Nyashinski wanafanya kazi hiyo zaidi yao.