Posts

MWANDISHI WA SANAA MANUEL NA RAPPER HUSTLA JAY WAZURU SHULE NA KUWAPA MOTISHA WANAFUNZI

Image
Mwandishi mashuhuri wa gazeti na maswala ya burudani Manuel Ntoyai na mwanahiphop Hustla Jay,walitembelea shule ya msingi ya TIMBWANI Baptist iliyopo maeneo ya Likoni. Wawili hao walitembelea shule hiyo kama moja ya miradi ya AFRICA IS NOW FOUNDATION kuwahamasisha wanafunzi kuhusu maswala ya jamii,elimu na taaluma,talanta na maswala ya madawa ya kulevya. Manuel ambaye ni kati ya wahariri wakuu na mwandishi wa sanaa na burudani wa gazeti la PEOPLE DAILY,majatida ya Spice na Tribe43 alikuja bayana na kueleza umuhimu wa utandawazi,elimu na taaluma naye Paul Maasai almaarufu Hustla Jay alizungumzia talanta na madawa ya kulevya mashuleni. Wawili hao Vilevile,tulipiwasiliana nao walisema huu ndio mwanzo tu ila watazuru shule na kuhamasisha wanafunzi zaidi ili kuwasaidia kwenye safari yao masomoni.
Image

HARUSI YA AKOTHEE YANUKIA NA JE MWANADADA HUYU NI MJA MZITO????pata majibu hapa!!!

Image
Nyota Ndogo keshatwaliwa,anayefuatia kwa laini ni Akothee.Mwanadada huyu mwenye vibao motomoto kama 'give it to me' na 'Mama-Shangerera' meza yetu ya habari imevumbua uvumbuzi kuwa harusi yake na mpenziwe wa Switzerland huenda ikiwa tarehe tano mwezi wa November. Vilevile Akothee alibandika picha na maandishi yanayozua maswali mengi sana. Maneno yenyewe yaligusia mambo na uja uzito na kama tunavyokumbuka tayari mwanamuziki huyu ni mama mlezi wa watoto watano....wasita yupo karibu. Akothee aliandika hivi......."While you are still in my past am already enjoying my present, baby no. - loading am blessed Akoth .this concoction is only ment for pregnant people it's full of iron & positive energy you know, but don't try this at home get the formula from me #madamboss" Kwa sasa Akothee yupo holiday Ulaya akasherekea siku yake ya kuzaliwa. HABARI NDIO HIYO.....HATUNA CHA KUONGEZA!!!!

WATANGAZAJI WA RADIO WALIONA MISHAHARA MINONO !!!!

Image
5.MUNENE NYAGAH WA Q FM. Kiwango chake kinaenda hadi 300,000 ksh. 4.KALEKYE MUMO WA KISS 100 FM Huyu binti ambaye vilevile ni msanii,ana kula hela urefu wa 300,000 ksh. 3.MBUSI WA RADIO JAMBO. Jamaa huyu aliyetoka mitaani na kujiunga na redio kwa neema ya Mungu anasheherekea zaidi ya nusu milioni kila mwezi. 2.CHURCHILL WA CLASSIC 105. Ucheshi wake ndio unaopamba kipindi chake pamoja na Maina Kageni kila kukicha.Milioni moja pesa za Kenya ndio zake kila mwisho wa mwezi. 1.MAINA KAGENI WA CLASSIC 105 Nambari ya kwanza ni ya huyu jamaa ambaye kila mwisho wa mwezi akaunti yake ya benki inaingia 1.5 M.

NYOTA NDOGO AZAWADIWA GARI KAMA ZAWADI YA HARUSI(Cheki photo hapa)

Image
Mama mlezi wa pwani yaonekana ashapata wa kumtunza na kumtunuku asilimia moja moja. Nyota Ndogo amezawadiwa gari kama Zawadi ya harusi yao.

NYOTA NDOGO AFUNGA HARUSI(picha zipo)

Image
Mlezi wa sanaa ya pwani,Nyota Ndogo hapo Jana alifunga pingu za maisha na mpenzi wake wa kizungu. Harusi hiyo iliyofanyika hapo Jana mjini Voi ilikuwa na sheshe kibao japo baadhi ya jamaa na familia kutohudhuria. Nyota amefunga harusi na mpenziwe mwenye asili ya kijerumani na harusi yenyewe itachukua siku mbili. Harusi ya Jana ilikuwa ya kidini na watu wa familia pekee na ya siku ya Leo (22,May,2016) ni ya kila mtu. Habari zinazotufikia ni kuwa ng'ombe kadha wamechinjwa kwa ajili ya sherehe hiyo na wageni pamoja na mashabiki zake Nyota Ndogo wamejaa furifuri kushuhudia na kusherehekea tukio lote.

BARUA KWA WATU WA UKUNDA!!!!!

Image
BARUA YA UKUNDA(UK)/DIANI BEACH KUTOKA KWA DADDY Q. Leo nimekesha studio nikifanya kazi huku nikiskiza kazi za nilipotoka Ukunda city south coast kwale county aisee siogopi kusema ukunda believed n made me,nilianza Grip wear ukunda,i got my first daughters in ukunda,i got my wife in UK and im proud of that,ukunda ni town utajua ki german kwa streets kuna watu washa save wakaruka mpaka ng,ambo lakini sasa ni machizi wamesota kama kitambo,i had a dream though i came from the ghetto i,m the first rapper to put ukunda on the map musically with back to back hits enzi Brown mauzo alikua boy wa kunipelekea bling kuoshwa kwa sonara,enzi George Uduny aka Kingstin ni maniac mighty pigo,enzi Rudi Wu Makeke bado yuko makeke family na kina cliff hajashika bazooka la kenya army,enzi Producernau Mzee Wakilingile na Produza Noor Mwamba bado ni wasanii,enzi Fisher Man na Sharo Baro Sketcher hawajaanza kuvaa zile belti kubwa zimepigwa welding,enzi Tk Mbili hajajua kutumia fruity loops,enzi hatukujua M...