Posts

New Song Alert: Dance Flow by DICE GANG254 FT SHINEY.

Image
Dance Flow ndo jina la wimbo ulioandaliwa chini ya produza Baindo, download and listen mdundo.com/song/49804 .

ARTIST OF THE MONTH.

Image
Artist of the month brought to you by Kenya Music Co-operative. Ohms Law Montana 

NI MAHABA AU RAHA.

Image
Ni picha iliyozua maswali mengi kwa mashabiki baada tu rapper Kaa La Moto kupost kwenye wall yake hapo jana siku ya Easther Monday. Kaa La Moto kaisifu nyama ya ng'ombe aliyogawa na Sis P akidai ni tamu na imefanya siku iwe nzuri kwake, je ni nyama gani hio???

NEW SONG ALERT FROM CANNIBAL

Image

TENDA WEMA UENDE ZAKO

Image
Dully melody ajipata kwenye wakati mgumu baada ya kusaidia msanii chipukizi wa jiji la Nairobi ambaye anajulikana kama STEADY J. msanii huyo steady j ambaye Dully alimsaidia kwa kumuhifadhi na malazi na mavazi, tu baada ya msanii huyo aliyeshindwa na hela za malipo ya studio Dully Melody aliamua kumwambie arudi kwao Nairobi kwa sababu lengo lake lilikuwa limebuma la kufanya collabo na Dully Melody. Msanii huyo ambaye kwa sasa anatumia nyimbo za Dully Melo dy akisema ni za kwake hata kwa mdundo nyimbo hizo ameweka kwa mdundo account yake. kwa sasa Dully Melody yupo kwenye mikakati ya kumwambia azitoe kwa mdundo account yake, lakini msanii huyo Steady J amesusia kuzitioa na pia kuna nyimbo mpya ambayo anapanga kurecord ambayo ni ya Dully melody. Melody anaomba msaada kwa mashabiki kumsaidia kutatua hio shida

INTRODUCING NEW HIPHOP ARTISTE IN COAST,, LYRICAL KING.

Image
Katika michakato yetu ya upekuzi wa burudani tulikutana na msanii wa kuchana anaetokea mombasa. Na tulipo muuliza safari yake ya mziki haya ndio aliyotuambia. "Mziki nilianza 2010 nikiwa kama dancer kwenye kundi la TALIBAN DANCE CREW. ilipofika 2013 niliingia katika studio za TEE hits na kuachia kibao changu cha kwanza kwa jina BADO HAWATAKI. ambacho kilipendwa na wengi hiyo ilinipa bidii ya kuwa naweza na sikukata tamaa hadi sasa niko na vibao vinne na vyote vinafanya vizuri bado kuna mengi makubwa yanakuja hivi karibuni" Lyrical king ndo jina lake la usanii naye anahitaji support yetu kufikia azimio lake la mziki

JE DULLY MELODY AKAFANYWA NINI??

Image
Baada ya dully melody kupost kwa wall yake"HAKI HII SIKUTARAJIA KUTOKA KWAKO MY BRO..IPO SIKU TU..NDO KUKOMAA" watu wa karbu walijawa na ghadhabu kujiuliza kuna lipi linaendelea ama limemkumba msanii huyo.Ikatulazimu kumtafuta Dully melody kujua kipi kina kula mwengine? Ijapo Dully melody hakutaka swala hili kusema ila kwa kumrai alitudokezea..na haya ndio aliyosema. "Mimi kama dully melody nko na mshauri wangu wa karibu ambae ni kama kaka yan gu.swala alilofanya bado sijawai tarajia kutoka kwake..hii ni baada tu yakunipia simu kwamba kuna show ambayo ilikua jumamosi 13/2/2016,show hio ilikua ni ya malipo ambayo ilikua kama show yangu ya kwanza kulipwa tangu kuanza mziki..basi ndugu yangu siku ilipofika ilibidi kuuliza malipo kama alipewa ama bado kaka yangu HANS MAHMOUD alisema amelipwa nilipotaka kujua ni kiwango gani alisema twende tutaongea mbele mbele,tulipofika mazeras kuelekea kaloleni ambako show hio ingefanyka nilitaka anipe hizo pesa japo 1000...