UCHI !!! TAZAMA !!! MKE WA ZAMANI WA SUSUMILA,RUTH,AACHIA PICHA UKIWA UCHI KABISA....TENA CHOONI!!!


Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni; mke wa zamani wa Susumila ameachia picha akiwa uchi kabisa chooni.Picha hizi zilipamba mitandaoni na wengi wakasema kuwa Ruth anatafuta umaarufu.
Ruth,ambaye ni model na mama wa watoto wawili alijitetea kuwa hii sio kiki na atafuti umaarufu bali yupo kazini.Kazi gani???
Kazi yenyewe ni kuandaa advert flani ya kampuni ya German. Yasemekani kwenye advert hiyo ni yeye na Tiara Gold,ambaye vilevile ni model.
Habari ndio hiyo!!!!!

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!