MSANII MASHUHURI KUTOLEWA UUME NA KUBAKI BILA!!!!

Msanii mashuhuri ulimwenguni kwa jina Jaden Smith,ambaye ni mwanawe Will Smith amewashangaza wengi.
Dogo huyo aliye na mashabiki si haba alipachika maneno yanayozua kizungumkuti kwelikweli.Jaden aliandika kuwa akifikisha miaka kumi na nane atatolewa uume wake wa kiume na kuwachwa bila. Sasa asiwe mwanaume wala mwanamke,bali binadamu wa kawaida tu.

Jaden alisema hivi...."I’VE BEEN WANTING TO DO THIS SINCE 13, BUT ONCE I’M LEGALLY ABLE TO CONTROL MY OWN FINANCES I CAN MAKE MY PENISLESS DREAMS COME TRUE” – JADEN SMITH"

Dogo huyu gwiji wa filamu na muziki amekuwa akigonga vichwa vya habari hivi majuzi kwa kuwa na chembechembe za kupendelea mambo ya kike hasa mavazi.Jaden aliongezea haya.....


“I’VE BEEN WANTING TO DO THIS SINCE 13, BUT ONCE I’M LEGALLY ABLE TO CONTROL MY OWN FINANCES I CAN MAKE MY PENISLESS DREAMS COME TRUE” – JADEN SMITH

Vilevile msanii huyu Mwenye miaka kumi na saba alisema atabadili jina lake kutoka Jaden hadi Jade pindi upasuaji wake wa kuondoa tupu yake ukikamilika.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!