MBONA MWAWABABAIKIA WAIGIZAJI WA BONGO HIVYO?-MUSCAT MORENO AWAULIZA WAANDALIZI WA FILAMU.


Muscat Moreno,mwandalizi wa tamasha na director wa filamu vilevile amechukizwa na jambo Fulani.Mshika dau Huyu mwenye weledi mwingi kwenye tasnia ya uigizaji alifunguka haya kupitia ukurasa wake wa Facebook na kuwakashifu vikali waandalizi wa filamu hasa wa hapa pwani wanaowababaikia waigizaji wa filamu za bongo na kuwapa role za mbele kwenye filamu za Kenya. Moreno aliandika hivi...

"I have nothing against TZ, but what baffles me is the rate at which Kenyan (Coast) producers are giving lead roles to Tanzanian Actors in Kenyan movies and TV series. Kwani Kenya actors hakuna? We cry for 60% local content but are we leading by example? TZ can never give a kenyan the same opportunity in their projects, lets stop this bullshit and appreciate our own."

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!