LOOOOO KINGWENDU KUGOMBEA UBUNGE TANZANIA!!!!


Majina yake halisi ni Rashid Mwinshehe, na jina
lake la kisanii ni "Kingwendu". Kabila ni Mzaramo
mzaliwa wa Kisarawe. Elimu yake ni Stashahada
ya Uhasibu (Diploma in Accounting) kutoka chuo
cha Uhasibu Tanzania (TIA).
Kitaaluma Kingwendu ni Mhasibu. Amefanya kazi
ya uhasibu katika taasisi mbalimbali kabla hajaamua
kuachana nayo na kujiingiza kwenye sanaa za
maigizo ambapo anafanya vizuri katika sanaa za
vichekesho (Physical and Character Comedy).
Kwa sasa anagombea Ubunge jimbo la Kisarawe
kupitia chama cha wananchi CUF akiwakilisha
Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Kingwendu aliwaahidi wananchi wa KISARAWE kufanya kazi nayo vizuri na kuleta maendeleo kabambe.Vilevile aliongeza kuwa hatoacha kufanya filamu manake hicho Ni kipaji chake.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!