BELLARY CLASSIC "LIKONI ZAWADI YENU HII HAPA.TAZAMA!!!


Muite Bellary Classic au ukipenda "mwana wa Likoni." Alipohamia jijini Nairobi alitoa hakikisho kuwa lazima ataiweka likoni kwenye map ya muziki wa Afrika Mashariki. Hivyo basi safari yake imeng'oa nanga. Tazama kitu kipya kutoka ndani ya studio za mainswitch Nairobi na video iliyoandaliwa na Johnson Kyalo...wimbo jina Ni KILA SAA. IPO hapa

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!