JUMBE ZA WHATTSAP NA INBOX ZAVUJA!!!!! CEO FULANI AWAT***A MODELS WAKE SANA NA KUTOWALIPA!!!!

 Huku ukumbi wa modeling ukizidi kupata mabinti zaidi hapa pwani.Ceo wa kampuni flani ya modeling yenye jina na umaarufu mkubwa hapa pwani amevuka mipaka na kuwadhulumu wafanyikazi wake.
Kalameni huyo yasemekana amekuwa akifanya mapenzi na models wake ili awape 'favours' na 'goody goody'.Jamaa huyo vilevile halipi models wake wanapofanya kazi.Models wake wakimpigia simu hashiki ama anaizima kabisa.
Tazama jumbe za whattsap tulizopata kunasa kuhusiana na matukio yote ya kalameni huyo....










Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!