Alishika sana chart za muziki wa pwani na kuingia mitini. Baada ya kimya kirefu mkali wa hiphop ambaye wengi hupenda kumsifu kiupande wa commercial alirudi kimtindo na kutubwagia zigo kali kwa jina MIC-CHECK. Katika wimbo huo Crazy-K amesema wananiita kwa Cypher na bado nawashinda.....mara wanakuja wanapotea kama nyimbo za grandpa. ...Hii inadhihirisha wazi kuwa kunayealiyekuwa anamuingilia hasa kwenye sanaa ys pwani kwani pwani ndiko one hit wonders wengi.Je unadhani ni nani aliyekuwa akishambuliwa kwa diss hii?

Comments

Popular posts from this blog

SUDI MANJEWAYNE :THE PWANI KING OF DISS DISSES AGAIN IN HIS NEW SINGLE 'WATAJISHUKU"

WAZEE WETU WA KILIFI SIO WACHAWI-MSANII P-DAY AONGEA