FIDEMPA BILA SHAKA AMEIPEPERUSHA BENDERA YA DANCEHALL PWANI JUU KABISA


Alitoka Pwani akiwa kinda kwa ulingo wa muziki na kuelekea Uganda kubahatisha bahati yake.Huku nyuma kila shabiki aliwachwa roho juu na kumtakia kila la kheri kwa njia aliyoichukua.Haikumakiza hata mwaka msanii wa ragga na dancehall Phidempa alipovunja ufuo na kutiririsha vibao vikali na vya kusisimua na kuchukua nafasi kula mkeka mmoja na wakali wa Afrika mashariki.Hivi majuzi bingwa huyu ambaye mizizi yake ya muziki iliota hapa Pwani alitoa kibao akishirikiana na Proff na kikafanya vyema sana.Hivi saa video yake DANGEROUS inachafua charti za muziki wa Afrika mashariki.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!