Lovemumz arudi tena chini ya Tee hits studio


Binti mshindi wa tuzo za Nzumari na Coast awards amerudi tena kwa kishindo kikuu. Mrembo Huyu ambaye yasemekana alikuwa Tanzania amerudi na kuruka ndani ya Tee hits record na kutayarisha kibao kikali kwa jina Melody. Mashabiki kuweni tayari kuupokea ujio hii mpya.

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!