"NISHAWAHI CHOMA MTU".... ...SIRI YA NYOTA NDOGO YAFICHUKA!!!!!


Kumbe msanii Nyota Ndogo ni mwenye hasira kiasi hiki? Binti huyu anayevuma kwa kibao MAPANYA alinakili kuwa ashawahi choma mtu kwa moto......cha kushangaza ni kuwa ashawahi piga picha huku ameshikilia bastola. 

Je Nyota ni mkali kiasi hiki???Nyota aliandika hivi....
Nyota Ndogo
"Je unajua kwamba nyota ndogo ameshawai kumchoma mtu kwa moto? Kisa? Jamaa alilazwa hospitali wiki mbili. Kumbuka nilikua miaka kumi na tatu na nne hapo. huyu jamaa aliwai kuimba kitu flani kwa dadake., alipotoka ilikuaje? Ungependa kujua?"

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!