QUEEN EVE APATA DEAL NA PWANI TV



Event organiser na mfanyibiashara kutoka humu pwani Eve Queen amepata deal ya kuleta kipindi kwenye Pwani T.V. Kulingana na mawasiliano yetu naye hapo awali, Eve alitueleza kuwa kipindi chenyewe kinachoitwa The Dhowbiz, kitakuwa kikipeperushwa hewani wakati wowote kutoka sasa. Baadaye, aliupdate kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa wote walio niombea dua njema Mungu amejibu na kunitendea tena, leo nimetia saini kwa kipindi changu The Showbiz kua hewani katika Pwani Tv, nawapenda sana sana

Comments

Popular posts from this blog

MSANII KIJANA RANNY WA KADEM KUMBE KAJIUNGA NA KIKOSI CHA POLISI........pata uhondo hapa.

MKISEMA WAREMBO HAWAJAZAWA....TAZAMENI PICHA ZA VIDEO HII INAYOKUJA!!!